Mlale Food Processing

SUMAJKT Mlale Food Processing

Hiki ni kiwanda cha Shirika kilichopo Mlale JKT Songea Mkoa wa Ruvuma. Kilianzishwa mwaka 2018 na kinajishughulisha na uchakataji wa nafaka za mahindi ili kuongeza thamani ya zao hilo kuleta manufaa ya kiuchumi kwa Shirika.

Kiwanda hiki kinazalisha unga unaoitwa “Mlale Sembe” ambao unasambazwa sehemu mbalimbali nchini.

Wazo la kuanzishwa kwa kiwanda cha Mlale lilitokana na hupatikanaji wa mahindi mkoa wa Ruvuma sambamba na mpango mkakati wa JKT kujitosheleza kwa chakula.

Kiwanda hiki kinazalisha unga bora wa mahindi kwa mahitaji ya Jeshi na jamii kwa ujumla.
Mlale Food Processing

Fanya kazi nasi leo

Tembelea ofisi zetu au bofya kitufe hiki kupata   mawasiliano yetu..